Jumatano, 1 Februari 2017

MKE NI MBEBA HUDUMA YA MME

Unaweza usinielewe kirahisi lkn mke ni mtu anasabisha huduma ya mme kupata kibali zaidi kuliko kwanza, MITH 18:22"APATAYE MKE APATA KITU CHEMA;NAYE AJIPATIA KIBALI MBELE ZA BWANA"

Usimzalau mkeo ;usimfanye mkeo mtumwa wako,mpe nafasi uone jinsi utakavyofanikiwa ktk utumishi wako.

kama hajajua mengi kuhusu utumishi jifunze kumfundisha na kumjenga ili awe chombo cha BWANA na aweze kuwa mtu wa kwanza kukufanya utoke mahali ukipo na kufika mahali pa juu.


Ukitaka kujua ebu fikiri ukichokoza mke wako na kutoelewana naye unazuia majibu ya maombi yako.


Mke ni msaidizi wa mme sasa jiulize anasaidia nini.lkn ufikiri pia kusudi la kuumbwa ni nini. ukijua ndipo utajua kwa nini Mungu anasema si vema mwanaume awe peke yake.

Kwa maana nyingine ni kwamba wajibu aliopewa adamu si vema aufanye mwenyewe ila lazima awepo na eva.

mskusudi mawili ya MUNGU ya kuumba ni


1-kutunza bustani.

2-kumwabudu.

Usipotimiza haya unakuwa bado hujatimiza wajibu wako sawasawa kwa Mungu.

Sifunze kumfundisha mkeo kukubeba kihuduma yako ili ufanikiwe

Lebo:

Maoni 0:

Chapisha Maoni

Welcome

Jisajili kwenye Chapisha Maoni [Atom]

<< Nyumbani