REVIVAL BUILDERS CHURCH
BUILDERS OF GOD'S KINGDOMS, Tunajenga ufalme wa Mungu,Yunakuinua umjue Mungu binafsi,Tunainua uamsho mkuu wa , Maombi,MIUJIZA,na wokovu+WEWE NI SEHEMU YA UAMSHO WA SIKU ZA MWISHO, KUWA SABABU, KUWA UAMSHO
Jumanne, 16 Septemba 2014
Alhamisi, 11 Septemba 2014
Jumatano, 10 Septemba 2014
KANISA LA REVIVAL BUILDERS CHURCH
Kanisa hili limeanzisha mwaka 2013 chini ya uongozi wa Emmanuel eliya kasebele,kelvin Emmanuel mwelela
beatus thadei MSUYA na Aliko falijala. Msingi wa kuanzisha kanisa ni ezeck 22:30"nami nikatafuta mtu miongoni mwao,atakayelitengeneza boma na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka,kwa ajili ya nchi nisije nikaiharibu,lkn sikuona mtu"
KANISA lipo kujenga misingi iliyoharibika katika kanisa na ktk jamii ya nchi na ulumwengu mzima. upendo halisi wa MUNGU uliopotea ktk kanisa unatakiwa kurejea,huduma za watoto wa MUNGU zinatakiwa kulelewa kama MUMGU alivyokusudia kwani kizazi hiki watumishi wengi hawapendani;kwa kusudi hili MUNGU ametupa maono haya ili tuweze kuyatengeneza yaliyoharibika. Ndani ya mwaka mmoja MUNGU amefanya tayari tunamtawi matatu ya kanisa na tumefika mikoa miwili;utukufu kwa BWANA YESU.
YEYE ALIYEANZISHA NDIYE ATAKAYETIMIZA.
Tumeendelea kujipatua na kwa kushirikiana na makanisa mengine ya kiroho tutaweza kujenga ufalme wa MUNGU wetu.
